a
Yos 14:15
;
15:13
;
20:7
;
21:11
;
Mwa 13:18
;
24:67
Genesis 23:1-2
Kifo Cha Sara
1
Sara aliishi akawa na umri wa miaka mia na ishirini na saba.
2
a
Sara akafa huko Kiriath-Arba (yaani Hebroni) katika nchi ya Kanaani, Abrahamu akamwombolezea na kumlilia Sara.
Copyright information for
SwhNEN